Author Archives: Ibrahim Mdachi

Tangazo la Kazi

Taasisi isiyoya kiserikali Inayouza vitabu na kuhimiza usomaji inatafuta Mhudumu wa Ofisi. Taasisi hii inafanya shughuli zake nchini Tanzania na ofisi zake ziko  jijini Dar es salaam.   Shughuli za Mhudumu wa Ofisi ni kama ifuatavyo: Kufanya usafi wa ofisi, duka la vitabu na mazingira ya ndani na nje ya ofisi. Kusaidia katika shughuli za […]

Soma na Wanafunzi wa Dar es Salaam International Academy Mitaani

Kwa nara nyingine, Soma ikishirikiana na Dar es Salaam International Academy imewakutanisha wanafunzi wa shule hiyo na wenzao wanasoma kwenye shule za umma kitongojini “Michungwani” Mtaa wa Darajani, Kata ya Mikocheni, katika shughuli za USOMAJI. Walisoma na kutambiana hadithi mikekani, wakazijadili na kufanya vitendo kadhaa vya kimichezo vinavyofikirisha na kujenga ari ya kujua zaidi… tofauti […]