Category Archives: Latest

More from the front page.

Soma na Usomaji na watoto wa Michungwani pamoja na wanafunzi wa DIA

Habari zenu marafiki na mashabiki waUsomaji Zoezi ama shughuli zetu za usomaji katika kitongoji cha Michungwa zinaendelea kama kawaida na kila mmoja wenu anakaribishwa kushiriki kwa namna moja ama nyingine, ikiwa ni kimawazo au hata kushiriki moja kwa moja, kuchangia chochote kinachoweza kusaidia vijana hawa wachanga katika kitongoji hiki na viginevyo hapo baadaye kuweza kuujenge […]

Walter Rodney: A Promise of Revolution–Dar Es Salaam Launch

To be launched in Dar Es Salaaam at the Mwalimu Nyerere Intellectual Festival, limited copies of “Walter Rodney: A Promise of Revolution” authored Clairmont Chung are available for sale at Soma Book Cafe, Plot No 53 Mlingotini Close Regent Street, in Regent Estate Mikocheni A. We will also have an exhibition table during the launch […]

Hadithi Hadithi with Rupal Ganatra

Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) & Taasisi ya Usomaji na Maendeleo–Soma Maadhimisho ya siku ya wapendanao yaani Valentine kwa mrengo wa Kijinsia Kauli mbiu: “Wantanzania Tupendane Bila Aina Yoyote ya Unyonyaji, Ubaguzi na Ukatili wa Kijinsia” Maadhimisho ya siku ya wapendao yatafanyika katika viunga vya Mkahawa wa Vitabu Soma Book Café tarehe 16 February 2013, […]

Andika na Soma 2013… changia mada

Mzunguko wa pili wa shindano la fasihi, Andika na Soma 2013 unaanza na uchaguzi shirikishi wa dhamira. Ilipendekezwa na washiriki wa mzunguko wa kwanza 2012 kuwa inafaa washiriki wapate zaidi ya dhamira moja ya kandikia hadithi. Washindi 7 walioshiriki warsha ya uandishi wa hadithi fupi alialikwa kupendekeza dhamira  zinazowashughulisha zaidi vijana wa leo. Walipekeza dhamira […]

Tangazo la Kazi

Taasisi isiyoya kiserikali Inayouza vitabu na kuhimiza usomaji inatafuta Mhudumu wa Ofisi. Taasisi hii inafanya shughuli zake nchini Tanzania na ofisi zake ziko  jijini Dar es salaam.   Shughuli za Mhudumu wa Ofisi ni kama ifuatavyo: Kufanya usafi wa ofisi, duka la vitabu na mazingira ya ndani na nje ya ofisi. Kusaidia katika shughuli za […]

Soma na Wanafunzi wa Dar es Salaam International Academy Mitaani

Kwa nara nyingine, Soma ikishirikiana na Dar es Salaam International Academy imewakutanisha wanafunzi wa shule hiyo na wenzao wanasoma kwenye shule za umma kitongojini “Michungwani” Mtaa wa Darajani, Kata ya Mikocheni, katika shughuli za USOMAJI. Walisoma na kutambiana hadithi mikekani, wakazijadili na kufanya vitendo kadhaa vya kimichezo vinavyofikirisha na kujenga ari ya kujua zaidi… tofauti […]