Category Archives: Andika na Soma

uwake update… on 24th july meet up

Hello Ladies and Gents, We met again this Tuesday at Soma Book Cafe in Dar es Salaam. Six of us were present, namely Paulina, Caroline, Demere, Tendai, Jasper and Bandele. You’d think we’d leave early but we made till 10pm. The theme for this session was ‘Sexism’. We were pleased to also receive poems via […]

U-wake Poetry Meet Tonight

Mabibi na  Mabwana, Karibuni tena washairi na wapenzi wa ushairi usiku wa leo pale Mkahawa wa Vitabu Soma tughani, tuchambue na kufurahia tungo zetu. DHamira ya leo ni tungo tata kwani inadai tatizo. je, ni ufumbuzi, utatuzi au ni nini? shairi lako linaweza kulifummua fumbo hili…. kwa maelekezo ya njia, tazama ramani yako ya google […]

Andika na Soma 2013… changia mada

Mzunguko wa pili wa shindano la fasihi, Andika na Soma 2013 unaanza na uchaguzi shirikishi wa dhamira. Ilipendekezwa na washiriki wa mzunguko wa kwanza 2012 kuwa inafaa washiriki wapate zaidi ya dhamira moja ya kandikia hadithi. Washindi 7 walioshiriki warsha ya uandishi wa hadithi fupi alialikwa kupendekeza dhamira  zinazowashughulisha zaidi vijana wa leo. Walipekeza dhamira […]