Category Archives: Events

Majadiliano ya kitabu cha Kolonia Santita

Taasisi ya usomaji na maendeleo – Soma inapenda kukutaarifu kwamba, kesho tarehe 24/03/2017 siku ya Ijumaa kuanzia saa kumi kamili jioni, kutakuwa na majadiliano ya kitabu cha Kolonia Santita cha Enock Maregesi. Kolonia santita ni hadithi ya kusisimua ya kijasusi na dawa za kulevya. Inazungumzia vita kali kati ya Tume ya dunia ya umoja wa […]

First Ever Swahili- English literary translation workshop at Soma book cafe

[fusion_text]Soma, in partnership with Commonwealth writers and English PEN organized a workshop on Swahili to English translation held in Dar es Salaam (soma book cafe) from 7-11 November 2016. The workshop was led by the literary translators Richard Mabala (a veteran writer in Tanzania) and Ida Hadjivayanis ( A lecturer of Swahili and translation from […]

Shindano la hadithi fupi mzunguko wa tatu: Kifungilo yaibuka kidedea

Kinyang’anyiro cha kumpata mshindi wa shindano la kuandika hadithi fupi kwa wanafunzi wa shule za sekondari nchini – Andika na Soma, linaloendeshwa na taasisi ya usomaji na maendeleo – Soma chini ya udhamini wa ubalozi wa Denmark  kimefanyika mwishoni mwa wiki tarehe 14/10/2016. Katika tukio hilo mwanafunzi Eliana Ludovick Swai wa shule ya sekondari ya […]

Tangazo: Tunakaribisha Maombi kwa Wanaotaka Kushiriki Kwenye Warsha ya Wafasiri wa Fasihi ya Kiswahili–Kiingereza

[fullwidth background_color=”” background_image=”” background_parallax=”none” enable_mobile=”no” parallax_speed=”0.3″ background_repeat=”no-repeat” background_position=”left top” video_url=”” video_aspect_ratio=”16:9″ video_webm=”” video_mp4=”” video_ogv=”” video_preview_image=”” overlay_color=”” overlay_opacity=”0.5″ video_mute=”yes” video_loop=”yes” fade=”no” border_size=”0px” border_color=”” border_style=”solid” padding_top=”20″ padding_bottom=”20″ padding_left=”” padding_right=”” hundred_percent=”no” equal_height_columns=”yes” hide_on_mobile=”no” menu_anchor=”” class=”” id=””][one_third last=”no” spacing=”yes” center_content=”yes” hide_on_mobile=”no” background_color=”” background_image=”” background_repeat=”no-repeat” background_position=”left top” hover_type=”none” link=”” border_position=”all” border_size=”0px” border_color=”” border_style=”solid” padding=”” margin_top=”” margin_bottom=”” animation_type=”0″ animation_direction=”down” animation_speed=”0.1″ animation_offset=”” […]

Wikiendi na Watoto…

Katika azma ya kujenga jamii imara hatuna budi kushiriki na kushirikiana na watoto wetu katika shughuli zinazochangia maendeleo yao na ya jamii kwa ujumla. Jumamosi ya 16/07/2016, Soma ikishirikiana na wanafunzi wa zamani “alumni” wa Chuo Kikuu cha Cape Town (UCT) ilifanikiwa kuandaa hafla ya kifamilia. Hafla hii iliwakutanisha watoto, wazazi, ndugu, jamaa na marafiki […]

Celebrating Women Creative Agency in Liberation Struggles in Tanzania and Ireland

As part of the global commemoration of the Centenary of Ireland’s 1916 Rising, on 17/06/2016, Soma is collaborating with the Embassy of Ireland to celebrate the creative agency of women in the liberation struggles in Ireland and Tanzania. This is an acknowledgement and a remembrance of women’s rightful place in our collective histories and a […]

Kijiwe cha usomaji kwa watoto

Usomaji kwa watoto ni shughuli mojawapo  katika mikakati ya taasisi yetu Kuelekea kuwa na maktaba ya jamii. Hivyo basi mwaka jana tuliadhimia tuanzie nyumbani ambapo tulikuwa na kijiwe cha usomaji eneo la Mikocheni A. Mtaa wa Michungwani , tulikuwa tunakusanyika pamoja na watoto walioko mashuleni na majumbani kila Jumatano na Jumamosi kwa ajili ya kujisomea […]