Category Archives: Events

U-Wake Poetry Meet Up–Tuesday 26th November 2013

Greetings everyone, Hope you are well in your various abodes within and outside Dar es Salaam. We met once again on Tuesday 12th at Soma Book Cafe for UWAKE. Present were Jasper, Clara, Calister, Caroline, Pauline and Lola. A cozy six the theme was ‘Circle’ and we heard four poems on the theme. Namely ‘Everlasting […]

Soma literary Competition 2013/2014 on April 2014

ANDIKA NA SOMA-SHINDANO LA UANDISHI WA HADITHI FUPI Shindano la Hadithi Fupi kwa Shule za Sekondari linaratibiwa na Taasisi ya Usomaji na Maendeleo-Soma. Shindano hili hufanyika kila mwaka. Kuanzia mwaka 2014 kilele chake kitaangukia  siku ya vitabu duniani ambayo ni tarehe 23 Aprili au karibu na tarehe hiyo. Siku hii huadhimishwa duniani kote kwa matamasha […]

Book Launch at Soma Book Cafe On Tuesday,November 19th at 6:30 PM

Please join us in celebrating the publication by Cambridge University Press of RACE, NATION, AND CITIZENSHIP IN POST-COLONIAL AFRICA: THE CASE OF TANZANIA By Professor Ron Aminzade On TUESDAY, NOVEMBER 19TH AT 6:30 PM At SOMA BOOK CAFÉ Home Q4 2018 53 Mlingotini Close, Regent Estate, Dar es Salaam A brief presentation by the author […]

Uwake Poetry Meet Up–Kesho 29th Oct.

Mabibi na Mabwana, Salaam! Greetings Ladies and Gents, Hope you’ve had a good two weeks. Karibuni tena kesho pale Soma Book cafe kwa usiku wa mashairi mwanana. Mada ni ‘Joy’-‘Furaha’. Apologies for not sending the moots of our last session earlier… On our last meet on the 15th of Oct, present were Demere, Jasper, Happy, […]

U-Wake Update: 6ths August Poetry Meet Up

Heyloe Ladies and Gents, We met again last Tuesday at Soma Book Cafe, we had four new members (Ngasuma, Esther, Eliya and Lisa) and together (Carol, Pauline, Kido) seven of us made the session. The theme was ‘The hand that feeds you’ we heard three poems on theme and two others. Namely ‘Lost in the […]

uwake update… on 24th july meet up

Hello Ladies and Gents, We met again this Tuesday at Soma Book Cafe in Dar es Salaam. Six of us were present, namely Paulina, Caroline, Demere, Tendai, Jasper and Bandele. You’d think we’d leave early but we made till 10pm. The theme for this session was ‘Sexism’. We were pleased to also receive poems via […]

U-wake Poetry Meet Tonight

Mabibi na  Mabwana, Karibuni tena washairi na wapenzi wa ushairi usiku wa leo pale Mkahawa wa Vitabu Soma tughani, tuchambue na kufurahia tungo zetu. DHamira ya leo ni tungo tata kwani inadai tatizo. je, ni ufumbuzi, utatuzi au ni nini? shairi lako linaweza kulifummua fumbo hili…. kwa maelekezo ya njia, tazama ramani yako ya google […]

Siku ya Ukombozi wa Afrika/African Liberation Day 25th May 2013

Je, Afrika Huru ina maana gani kwako? Karibu Mkahawani Soma tutafakari pamoja na kubadilishana uzoefu wa harakati zetu mbalimbali za kujikomboa na kulikomboa bara letu kutoka kwenye mifumo yote kandamizi; tuutafakari muktadha wetu; tunoe na kuibua fikra na mbinu mpya za harakati. Uga huu umeratibiwa na ALD tawi la Tanzania. Kwa maelezo zaidi soma aya […]