Category Archives: Latest

More from the front page.

On our reading culture or not in TZ…

Do you recall being young and yearning to hear a ‘hadithi’ (folklore). Where your uncle, Grandma or Mother let’s your imagination soar with talking animals and singing vases before bedtime. In various other countries this yearning develops into a love for reading fiction works in youths, adults and elders alike, whether it’s mystery novels, romance, […]

Majadiliano ya kitabu cha Kolonia Santita

Taasisi ya usomaji na maendeleo – Soma inapenda kukutaarifu kwamba, kesho tarehe 24/03/2017 siku ya Ijumaa kuanzia saa kumi kamili jioni, kutakuwa na majadiliano ya kitabu cha Kolonia Santita cha Enock Maregesi. Kolonia santita ni hadithi ya kusisimua ya kijasusi na dawa za kulevya. Inazungumzia vita kali kati ya Tume ya dunia ya umoja wa […]

Shindano la Uandishi wa Hadithi Fupi kwa njia ya Mtandao

[fusion_text] Je wewe ni mwandishi? Kama ndiyo, unandoto za kuandika na ungependa kuona kazi yako ikishindanishwa na kushinda? Soma Book Café inakuletea shindano la uandishi wa hadithi fupi kwa njia ya mtandao. Andika hadithi yako juu ya mada yoyote utakayoichagua ukizingatia vipengele vya fani na maudhui. Maneno yasizidi elfu moja (1000). Shindano litafungwa tarehe 15/04/2017 […]