Friends of the book and readers, Greetings from Soma and Happy New Year!! We hope you had a holiday and like us you are looking forward to an eventful year. Soma staff is as always ready to be at service to you. We are happy to inform you that Soma Book Café will change its […]
Shindano la uandhishi wa hadithi fupi kwa shule za sekondari lililoendeshwa na Shirika la Usomaji na Maendeleo/E&D Readership and Development Agency Soma lilikamilika tarehe 7/12/2012 kwa sherehe iliyofanyika kwenye viunga vya Mkahawa wa Vitabu Soma.
Kwa nara nyingine, Soma ikishirikiana na Dar es Salaam International Academy imewakutanisha wanafunzi wa shule hiyo na wenzao wanasoma kwenye shule za umma kitongojini “Michungwani” Mtaa wa Darajani, Kata ya Mikocheni, katika shughuli za USOMAJI. Walisoma na kutambiana hadithi mikekani, wakazijadili na kufanya vitendo kadhaa vya kimichezo vinavyofikirisha na kujenga ari ya kujua zaidi… tofauti […]
Kwa mara ya kwanza na kwa ushirikiano na Soma, Wanafunzi wa Dar es Salaam International Academy wakiwa pamoja na Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya Mikocheni A katika shughuli za kijamii na usomaji katika makutano (King’oko Junction) karibu na shule hiyo.
Welcome to somabookcafe.com the official website for Soma (otherwise known as E&D Readership and Development Agency). Here you will get everything about Soma , join the discussion and help us promote a reading culture in Tanzania. Our website represents our commitment to informing, connecting, and engaging with the reading community (and would be readers) of Tanzania and beyond. With […]