Our mission, journey, and the team behind our reading revolution.
Uani Is a backyard , often with an enclosure traditionally designated as women's space of exclusion and safety from men's spying eyes , It is often associated with homes. There
ua n (nyua), U-N-, mzizi mauaNyuma ya Nyumba, Uzio Context: Relating to Swahili Homes. Traditionally a backyard, often with an enclosure, and designated as women’s space (of ‘seclusion’ and ‘safety’
ua n (nyua), U-N-, mzizi mauaNyuma ya Nyumba, Uzio Muktadha: Inahusu nyumbani Uswahilini. Kimila, uani kawaida kuna uzio, na pametengwa kama sehemu maalum ya wanawake (ya ‘faragha’ na ‘salama’ mbali
Asteria Malinzi Baridi la Ufukweni, 2021Picha, video na sauti.(Video Poem was produced in collaboration with Ngollo Mlengeya) Umekwishaonywa. Mchecheto usiomithilika unaikodolea milele zote zinavyotiririka mithili ya vijito. Umekwishaonywa; kwa wepesi
watoto-na-vitabu-case-study-1102Download
Access tools, guides, and links to support your reading and learning journey.
$10,000
In stock
In stock
Tone la Damu na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi kumi (10) bora za mzunguko wa tano (5) 2018 wa Andika na Soma, shindano la hadithi fupi kwa wanafunzi wa shule za sekondari Tanzania. Shindano hili lilibuniwa na kuendeshwa na Taasisi ya Usomaji na Maendeleo –Soma ili kuibua na kuchipuza vipaji vya uandishi wa kubuni miongoni mwa vijana; kuamsha ari ya usomaji na uandishi; na kuwawezesha vijana kutumia uandishi wa kubuni kujadili masuala yanayowahusu wao, jamii zao, taifa na ulimwengu.
Waandishi wa toleo hili ni: Otilia Haule kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Luise na mshindi wa kwanza (Tabu Tabuni); Irene Magayane kutoka Shule ya Sekondari Dar es salaam, mshindi wa pili (KE) (Msitu wa Ajabu); Ayubu Mashaka kutoka shule ya sekondari Benjamini William Mkapa, mshindi wa pili (ME) (Safari ya Matumaini); Emmauel Minja kutoka Shule ya Sekondari Benjamini William Mkapa , mshindi wa tatu (ME) (Tone la Damu); na Cecilia Mgimbira, kutoka Shule ya Sekondari Madibira, mshindi wa tatu (KE) (Lazima Nifanikiwe). Wengine ni: Aidani Mtura kutoka Shule ya Wavulana Tabora (Shamba la Dhahabu); Thandi Mtema kutoka Shule ya Sekondari Irkisongo (Misukosuko); Mashaka Said Malilo, kutoka Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora (Hatima ya Mtemi); Alfeji Daimoni kutoka Shule ya Sekondari Madibira (Mifupa Hai); na Robert Mwijonge kutoka Shule ya Sekondari Madibira (Mtaa wa Heka Heka).
© 2025 SOMA | All rights reserved | Powered by Exppo.