Our mission, journey, and the team behind our reading revolution.
Uani Is a backyard , often with an enclosure traditionally designated as women's space of exclusion and safety from men's spying eyes , It is often associated with homes. There
ua n (nyua), U-N-, mzizi mauaNyuma ya Nyumba, Uzio Context: Relating to Swahili Homes. Traditionally a backyard, often with an enclosure, and designated as women’s space (of ‘seclusion’ and ‘safety’
ua n (nyua), U-N-, mzizi mauaNyuma ya Nyumba, Uzio Muktadha: Inahusu nyumbani Uswahilini. Kimila, uani kawaida kuna uzio, na pametengwa kama sehemu maalum ya wanawake (ya ‘faragha’ na ‘salama’ mbali
Asteria Malinzi Baridi la Ufukweni, 2021Picha, video na sauti.(Video Poem was produced in collaboration with Ngollo Mlengeya) Umekwishaonywa. Mchecheto usiomithilika unaikodolea milele zote zinavyotiririka mithili ya vijito. Umekwishaonywa; kwa wepesi
watoto-na-vitabu-case-study-1102Download
Access tools, guides, and links to support your reading and learning journey.
Ni katika mwaka wa 1895, Kilihona alipokuwa msichana wa miaka kumi na tatu, tayari “amekwishagunduliwa” na wazazi wenye wavulana kama mchumba wa kufikiria kuposea watoto wao na uzuri wake tayari umetungiwa nyimbo na wacheza enanga vijana wa sehemu za kwao, ndipo hao Wazungu, wa kabila la Wajerumani, walipoingia kwenye Ufalme wa Ukerewe kwa namna isiyosahaulika.
© 2025 SOMA | All rights reserved | Powered by Exppo.