Category Archives: Photos

Posts with Photos.

Book Launch “Kijiji Kisicho na Makaburi”

During the book bazaar event, Dickson Mtalaze launched his novel titled “Kijiji Kisicho na Makaburi” and the famous author Richard S. Mabala was his guest of honour who launched the book. Richard Mabala is a poet and a recognized writer of Secondary school English readers. His writings include Mabala the Farmer, Hawa the Bus Driver. […]

Watoto na Vitabu Q3 28 09 2019

Watoto na Vitabu walipata nafasi ya kusikiliza hadithi waliosimuliwa na Latifa Miraji iliyohusu simba, swala na mbuni. Pia kupitia hadithi hiyo watoto waliweza kuandika ujumbe mfupi, ushauri , barua kwa wahusika waliowapenda kutoka kwenye hadithi From the lion and ostrich story “Please lion and antelope will you be friends at the sleepover and dear would […]

Tone la Damu na Hadithi Nyingine

Tone la Damu na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi kumi (10) bora za mzunguko wa tano (5) 2018 wa Andika na Soma, shindano la hadithi fupi kwa wanafunzi wa shule za sekondari Tanzania. Shindano hili lilibuniwa na kuendeshwa na Taasisi ya Usomaji na Maendeleo –Soma ili kuibua na kuchipuza vipaji vya uandishi wa kubuni […]

Toni Morrison Tribute @Soma

Chloe Anthony Wofford Morrison known as Toni Morrison was born in February 18, 1931 in Chloe Ardelia Wofford and died in August 5, 2019 at New York City. She was an American novelist, essayist, editor, teacher and professor emeritus at Princeton University. She decided to change her name to Toni Morison because she respected how […]

Watoto na Vitabu Q3 10 08 2019

Watoto na Vitabu Jumamosi 10/08/2019 hapa  Soma Mkahawani walikitafsiri kitabu kinachoitwa ”Fati and The Old Man” kwa kiswahili na kuandika hadithi kwa ufupi kutoka kwenye kitabu hicho. This Saturday on Watoto na Vitabu program  @ Soma Book Café  translated the book  ‘Fati and The Old Man’ into Swahili and wrote a short story from the […]

Watoto na Vitabu Q3 2019

Leo kwenye kipindi cha Watoto na Vitabu, Watoto waliweza kufanya kazi mbalimbali za usomaji kama kusoma vitabu kwa ukimya, kueleza kwa ufupi kuhusu hadithi walizosoma kwenye vitabu, kusoma vitabu kwenye makundi pia waliendelea kuboresha hadithi zao walizozitunga hapo awali kwaajili ya kuchapishwa kwenye kijarida chao cha Muhula huu. Today on Watoto na Vitabu session, Children […]

Digital Storytelling Workshop

In partnership with The Creative Xchange from Botswana and Soma Book Cafe , Soma Book Cafe hosted Digital Storytelling Workshop facilitated by Letlhogonolo Godsave Christian Moremi from The Creative Xchange. Kwa ushirikiano wa The Creative Xchange kutoka Botswana na Mkahawa wa Vitabu Soma, Mkahawa wa Vitabu-Soma iliendesha mafunzo yaitwayo Digital Storytelling Workshop yaliyofanyika Mkahawa wa […]