Watoto na Vitabu Q3 28 09 2019

Watoto na Vitabu walipata nafasi ya kusikiliza hadithi waliosimuliwa na Latifa Miraji iliyohusu simba, swala na mbuni. Pia kupitia hadithi hiyo watoto waliweza kuandika ujumbe mfupi, ushauri , barua kwa wahusika waliowapenda kutoka kwenye hadithi From the lion and ostrich story “Please lion and antelope will you be friends at the sleepover and dear would […]
Watoto na Vitabu Saturday session 14092019

Watoto na Vitabu Saturday Session Watoto walisoma kitabu cha Heko na Haki, waliandika pia hadithi kutoka kwenye kitabu hicho kwa lugha ya kingereza. Soma Mkahawani tunaendelea kulea waandishi chipukizi.
Tone la Damu na Hadithi Nyingine

Tone la Damu na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi kumi (10) bora za mzunguko wa tano (5) 2018 wa Andika na Soma, shindano la hadithi fupi kwa wanafunzi wa shule za sekondari Tanzania. Shindano hili lilibuniwa na kuendeshwa na Taasisi ya Usomaji na Maendeleo –Soma ili kuibua na kuchipuza vipaji vya uandishi wa kubuni […]
Watoto na vitabu 31 08 2019

Watoto na Vitabu Saturday session, children created their own stories through observing pictures pinned on the wall .
Visits From STEM Power

STEM Power Executive Director, Ms Kiddist Gebreamlak visits Soma with David Robinson, Books for Africa Ambassador to explore shared knowledge, interest and possible interventions in STEM and virtual learning for in and out of school children and youths. Watch this space for further developments
Watoto na Vitabu Q3 17 08 2019

Watoto na Vitabu @Soma Mkahawani walisoma hadithi kutoka kwenye vitabu kwa makundi na kueleza kwa ufupi kuhusu hadithi hizo Watoto na Vitabu @Soma Book Cafe they read the stories from the books into groups and explained briefly about that stories.
Watoto na Vitabu Q2 20 07 2019

A happy story editing session today at Soma book Cafe. Ready for quarter Chapbook. Watoto na Vitabu Saturday end of the Quarter event will be on 27.07.2019
Watoto na Vitabu Q3 10 08 2019

Watoto na Vitabu Jumamosi 10/08/2019 hapa Soma Mkahawani walikitafsiri kitabu kinachoitwa ”Fati and The Old Man” kwa kiswahili na kuandika hadithi kwa ufupi kutoka kwenye kitabu hicho. This Saturday on Watoto na Vitabu program @ Soma Book Café translated the book ‘Fati and The Old Man’ into Swahili and wrote a short story from the […]
Watoto na Vitabu Q3 03 08 2019

Watoto na Vitabu muhula wa tatu umeanza leo tarehe 03 Augusti 2019,Watoto walisoma kitabu kinachoitwa Biko’s New School waliweza kuandika hadithi fupi kutokana na kitabu hicho walichosoma.
Watoto na Vitabu Q2 27 07 2019 Final event

Watoto na Vitabu quarter 2 final event happened during the Book Bazaar on 27th July 2019. The event featured with the following activities: Book launch of children’s own chapbook titled, Bring back Peace and other stories; an anthology of stories they wrote during the quarter. Storytelling session facilitated by Gloria Ngowi. Certificate and award giving […]