Category Archives: Platforms

Watoto na Vitabu Q3 28 09 2019

Watoto na Vitabu walipata nafasi ya kusikiliza hadithi waliosimuliwa na Latifa Miraji iliyohusu simba, swala na mbuni. Pia kupitia hadithi hiyo watoto waliweza kuandika ujumbe mfupi, ushauri , barua kwa wahusika waliowapenda kutoka kwenye hadithi From the lion and ostrich story “Please lion and antelope will you be friends at the sleepover and dear would […]

Tone la Damu na Hadithi Nyingine

Tone la Damu na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi kumi (10) bora za mzunguko wa tano (5) 2018 wa Andika na Soma, shindano la hadithi fupi kwa wanafunzi wa shule za sekondari Tanzania. Shindano hili lilibuniwa na kuendeshwa na Taasisi ya Usomaji na Maendeleo –Soma ili kuibua na kuchipuza vipaji vya uandishi wa kubuni […]