Leo kwenye Kipindi cha Watoto na Vitabu Today on Watoto na Vitabu session
It was an honor for Soma Book Café to meet with Dr. Alain Martial Kamal accompanied with his friend Hobokela Magale. Working on partnership with us (Soma Book Café) on Watoto na Vitabu project.
Kipindi cha watoto na Vitabu
Last night 4/7/2019 Soma and Sawti held a Poetry Open Forum for the participants of Sawti’s “Poetry as Preservation” workshop, who were also joined by other poets. We heard poems from the thought provoking “What should we preserve/ Who decide what is preserved” from Richard Mabala to a rib cracking “I love her” from the […]
Leo kwenye kipindi cha Watoto na Vitabu, watoto waliweza kueleza wiki zao (Jumatatu- Ijumaa) zilikuwaje kwa kifupi kwa kunong’onezana na jirani yake, walisoma kwa pamoja kitabu “Paulina’s visit” pia walikijadili kwa pamoja na baadae waliandika hadithi zao mpya kutokana na maudhui ya kitabu walichokisoma…
Leo kwenye kipindi cha Watoto na Vitabu, Watoto waliweza kufanya kazi mbalimbali za usomaji kama kusoma vitabu kwa ukimya, kueleza kwa ufupi kuhusu hadithi walizosoma kwenye vitabu, kusoma vitabu kwenye makundi pia waliendelea kuboresha hadithi zao walizozitunga hapo awali kwaajili ya kuchapishwa kwenye kijarida chao cha Muhula huu. Today on Watoto na Vitabu session, Children […]
The book is now available at Soma bookshop after a long period off stock. Delivery is available. Karibuni Sana.
In partnership with The Creative Xchange from Botswana and Soma Book Cafe , Soma Book Cafe hosted Digital Storytelling Workshop facilitated by Letlhogonolo Godsave Christian Moremi from The Creative Xchange. Kwa ushirikiano wa The Creative Xchange kutoka Botswana na Mkahawa wa Vitabu Soma, Mkahawa wa Vitabu-Soma iliendesha mafunzo yaitwayo Digital Storytelling Workshop yaliyofanyika Mkahawa wa […]
Poetry as Preservation: Exploring East African Narratives This is one in a series of workshops titled Poetry as Preservation aiming to explore local heritage whilst focusing on language and the impactof borders have on how individuals choose to identify. It targets young Tanzanian poets who are interested in continuing this conversation and adding to the […]
Watoto na vitabu First Quarter 2019 Watoto na Vitabu 2018